11 February 2012

Alice Foundation ikishirikiana na Wizara ya Fedha yaandaa mafunzo ya MKUKUTA

Facilitator Mr William (MOF) na Mwenyeji wake Mwenyekiti wa Alice Foundation ambaye ndiye mwandaaji wa Training ya MKUKUTA

facilitator Mr. Ghumpi From Ministry of Finance akielezea kwa kina kuhusu MKUKUTA

Mrs. Alice Dosi Mwamsojo(kushoto) akiteta jambo na mmoja wa wajumbe wa Alice Foundation katika mafunzo ya MKUKUTA

picha ya pamoja na wawakilishi kutoka serikali za Mitaa katika kata ya Ubungo pamoja na mwenyekiti wa Alice Foundation

volunteers wa Alice Foundation wakati wa mafunzo ya MKUKUTA

wajumbe wa Mkutano walipata mda wa kujadili mada kwa vikundi


Pics Courtesy of Alice Dosi

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
Subscribe to RSS Join me on Facebook